| Tangazo lililopo kwenye ukuta wa ofisi ya Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Dodoma Makulu Janeth Justine |
| Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene akiongea na waandishi habari mjini Dodoma |
| Waziri Chawene na Mkurugenzi wa Elimu Msingi Abdu Maulid katika mkutano na waandishi wa habari |
| Waziri wa Tamisemi Akishuka kwenye Gari alipofanya ziara ya kushtukiza katika shule ya msingi Dodoma makulu |
| Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Janeth Justine akisalimiana na Naibu katibu mkuu Tamisemi Bernad Makali wakati akiwakaribisha shuleni hapo |
| Waziri wa Nchi Ofisi, ya Rais Tamisemi George Simbachawene akimpa mkono mwalimu mkuu wa shule ya msingi Dodoma makulu Baada ya waziri huyo na ujumbe wake kufanya ziara ya kushtukiza shuleni hapo |
| Waziri Chawene akisoma Barua toka kwa afsa Elimu iliyomtaka mkuu huyo wa shule kuitisha mkutano wa kuomba michango ya shule kwa wazazi |
| Waandishi wa habari wakimsikiliza waziri Chawene ofisini kwake kabla ya ziara ya kushtukiza katika Shule ya msingi ya Dodoma Makulu |
Tags
ELIMU