BANDA MEDIA BLOG

Mwigulu Nchemba 'Watu Wanaofurahia Tukio la Kuuawa Polisi Watafikishwa Kwenye Vyombo vya Sheria'


Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema watu wote wanaofurahia tukio la kuuawa Polisi wanne jana watafikishwa kwenye vyombo vya sheria kujieleza

Kufuatia kuuawa Askari Polisi wanne jana baadhi ya watu hasa mitandaoni walionyesha kufurahia jambo hilo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG