BANDA MEDIA BLOG

MAWAKILI WAFAWIDHI WA MIKOA NA WAENDESHA MASHITAKA WAPIGWA MSASA WA MAADILI NA UONGOZI MJINI DODOMA



Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gerson Mdemu akizungumza jambo wakati alipokuwa akifungua Mafunzo ya Uongozi na Maadili kwa Mawakili wa Wafawidhi na Waendesha Mashtaka wa Mikoa ya Tanzania Bara yanayoendeshwa kwa siku 3 mjini Dodoma

Mkufunzi wa maswala ya Menejimenti  na Uongozi Zuhura Muro akiendelea na jukumu lake ukumbini hapo
Washiriki wa mafunzo ya Uongozi na maadili kwa watumishi wa Umma ngazi ya Sheria wakiwa katika ukumbi wa hazina wakati ufunguzi IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG



Viongozi hao wakiwa katika picha ya pamaja


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG