BANDA MEDIA BLOG

WATU 50 WAUAWA AFGHANSTAN

 


AFGHANSTAN: Maofisa wa serikali nchini Afghanstan wamearifu kuwa watu hamsini, wakiwemo wanawake na watoto wameuawa na askari upande wa Jimbo la kaskazini mwa mji wa Sar-e-Pul. Naye msemaji wa gavana wa jimbo hilo ameiambia BCC kwamba Wapiganaji walikishambulia kituo cha ukaguzi wa usalama katika eneo la Mirzawalang na kuingia kijijini, kisha kushambulia kituo cha polisi cha eneo hilo ambapo wanawake na watoto ni miongoni mwa waathirika.
Msemaji huyo aliendelea kueleza kuwa anaamini kuwa washambuliaji hao wahusika wakuu ni muungano wa makundi ya wapiganaji wa Taliban na wanamgambo wa kunid la Islamic State ingawa wapiganaji wa kundi la Taliban wamekana madai hayo ikiwemo mauaji ya raia.


Taarifa zaidi zinadai kuwa wajumbe ishirini na nane wa wanamgambo wanaoiunga mkono serikali waliuawa.
#BBCswahili

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG