Kundi la kiislamu la al Shabaab lilisema kuwa lilitekeleza shambulizi hilo.
Vikosi vya muungano wa Afrika vinasema kuwa vimechukua udhibiti wa hoteli hiyo baada ya mapigano makali.
Ripoti zinasema kuwa mlipuko huo ulifuatiwa na ufyatulianaji mkubwa wa risasi.
Tags
KIMATAIFA


