Watoto
waishio katika mazingira magumu wanaolelewa katika kituo cha Amani
Center wakifurahia zawadi zilizotolewa na kampuni ya Megatrade kwa ajili
ya siku kuu za Christmas na Mwaka mpya.
Watoto waishio katika mazingira magumu wanao lelewa katika kituo cha Amani Center wakiweka pozi la picha mara baada ya kukabidhiwa zawadi kutoka Megatrade Investment ya jijini Arusha.
Watoto waishio katika mazingira magumu wanao lelewa katika kituo cha Amani Center wakiweka pozi la picha mara baada ya kukabidhiwa zawadi kutoka Megatrade Investment ya jijini Arusha.
Kituo cha watoto cha Amani Center.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Tags
HABARI KITAIFA






