| Mhagama akiangalia kisima cha maji cha shule ya sekondari ya Mpunguzi kilichoathiliwa na mafuriko |
| ujenzi wa Daraja ukiendelea ili kuziba Gema ambalo lilibomoshwa na maji yaliyosababisha mafuriko |
| Mwananchi akisalimisha Mbao pamoja na Bati baaday ya nyumba yake Kuangushwa na mafuriko |
| Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu sera, Bunge na walemavu Jenister Mhagama akimpa pole mmoja wa athilika wa mafuriko |
| Tingatinga likichimba mtaro katika daraja la mpunguzi linalodaiwa kuwa ndilo chanzo cha mafuriko hayo IMEANDALIWA NA BANDA BLOG |
| Mhagama alipotembelea na kujionea athari zilizoipata shule ya sekondari ya mpunguzi |
| sehemu ya jiko la hostel ikiwa imejaa matope yaliachwa na mafuriko hayo |
| Mhagama akiwa na viongozi mbalimbali shuleni hapo |
Tags
HABARI KITAIFA