BANDA MEDIA BLOG

MWANAMKE WA MAKAMO AUAWA KWA KUCHINJWA NJE YA NYUMBA YAKE KATIKA MTAA WA UDOM KATA YA IYUMBU DODOMA

 Mwili wa Marehemu Mdala Ndeyaa ukiwa umefunikwa na shuka alipokutwa ameuawa kwa kuchinjwa shingo na watu/ mtu asiyefahamika, huku Damu nyingi zikiwa zimetapakaa.

Askari kanzu wakifanya mahojiano na watu mbalimbali kuhusiana na tukio la mauaji ya kutisha ya Mdala Ndeyaa aliyeuawa kwa kuchinjwa.
 Askari wakikagua mwili wa marehemu Mdala Ndeyaa aliyekutwa kauawa kwa kuchinjwa nyumbanike katika Mtaa wa UDOM kata ya Iyumbu Manispaa ya Dodoma. IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

 Wakazi wa Kata ya Iyumbu wakiwa wamekusanyika kuangalia mwili wa Marehemu Mdala Ndeyaa mwenye umri wa makamo aliyekutwa kauawa mita chache  nje ya nyumba yake.





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG