Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawurence Museru akizungumza na
Mtaalamu wa Mfumo wa Chakula na Ini, Profesa Abdel Meguid Kassem pamoja
na Classen ambao wametoa msaada wa huduma za afya kwa wagonjwa katika
hospitali hiyo. Wataalamu hao wanatoka Ujerumani.
Mtaalamu wa Mfumo wa Chakula na
Ini, Profesa Abdel Meguid Kassem pamoja na Classen wakizungumza LEO na
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa
Lawurence leo kwenye hospitali hiyo.
Mmoja wa madaktari wa masuala ya
Mfumo wa Chakula katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)
akizungumza kwenye mkutano huo leo.
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawurence akizungumza na wataalamu hao LEO.
Tags
AFYA