BANDA MEDIA BLOG

Profesa Lawurence Museru akutana na Mtaalamu wa Mfumo wa Chakula na Ini

MSER1
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawurence Museru akizungumza na Mtaalamu wa Mfumo wa Chakula na Ini, Profesa Abdel Meguid Kassem pamoja na Classen ambao wametoa msaada wa huduma za afya kwa wagonjwa katika hospitali hiyo. Wataalamu hao wanatoka Ujerumani.
MSER2
Mtaalamu wa Mfumo wa Chakula na Ini, Profesa Abdel Meguid Kassem pamoja na Classen wakizungumza LEO na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawurence leo kwenye hospitali hiyo.

MSER3
Mmoja wa madaktari wa masuala ya Mfumo wa Chakula katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza kwenye mkutano huo leo.
MSER4
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawurence akizungumza na wataalamu hao LEO.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG