Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa.
Manaibu Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka na Saugata Bandyopadhyay wakifurahia jambo wakati wa mkutano huo.
Mwanahisa akiuliza swali.
Wanahisa wakiwa katika mkuano.
Mwenyekiti
Abeid Mwasajone akiongoza mkutano wa wanahisa. Katikati ni Katibu wa
Benki ya CRDB, John Rugambo na Makamu Mwenyekiti, Steven Mashishanga.
Tags
BIASHARA



