BANDA MEDIA BLOG

Lema Akichangia Hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini, Manji Anaila TANESCO


Akichangia bajeti ya Wizara ya Nishati Na Madini leo Bungeni Mh.Lema ameishangaa kampuni ya TANESCO kumpa tenda Manji kuagiza Transformer toka India wakati Malawi Na Msumbiji wananunua Transform toka Tanzania.

"Mheshimiwa Mwenyekiti inashangaza kuona Malawi Na Msumbiji wakinunua Transformer toka Tanzania, lakini TANESCO wamekuwa wakimtumia Manji Na kumpa Tenda ya kuagiza Transformer toka India kwa bei ya Mara mbili hadi Tatu zaidi ya bei iliyopo nchini."
nememunukuu Leama

NB: Hii nchi ngoja Magufuli aindeshe kichizi chizi kwanza hadi tukae sawa, maana kwa tulikofikia inahitaji akili ya kiuendawazimu kuirudisha.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG