Akiongea katika harambee ya kuchangia ujenzi wa bweni la wasichana chuo
kikuu cha Mzumbe amesema wanafunzi wa kike wanaosoma vyuo vikuu
wanaongoza kwa tabia ya kujiuza miili yao, na kujipanga foleni kwenye
hoteli na madanguro, na kuleta aibu kwa jamii
amesema zamani wao wkiwa wanasoma walikuwa wanaishi kwa 'bum' hilo hilo
lakini walikuwa hawajiuzi na ameshangaa kwa nini sasa hivi wanafanya
hivyo:
Tags
ELIMU
