Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akihutubia kwenye Tamasha Fadhili Mtoto Asome pamoja na Binti Clubs
iliyoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Binti Foundation ambapo
aliahidi kuwasomesha watoto 100 na aliwasihi Wanawake wanapoweka
mipango ya kimaendeleo kuwashirikisha pia wanaume.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
(kulia) akiwa pamoja na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa mara baada
ya uzinduzi wa Binti Clubs jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya watu waliojitokeza kwenye Tamasha
Fadhili Mtoto Asome pamoja na Binti Clubs iliyoandaliwa na taasisi
isiyo ya kiserikali ya Binti Foundation ambapo Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa mgeni rasmi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan akipitia kitabu cha Binti Foundation wakati wa Tamasha Fadhili Mtoto Asome.
Tags
AFYA



