BANDA MEDIA BLOG

KAIMU SHEKH MKUU WA MKOA WA DODOMA AHMED SAID AONGOZA SWALA YA EID KATIKA MSIKITI WA GADAFFI MJINI HUMO

Kaimu Shekh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ahamed Said akitoa mawadha katika ibada ya Eid ndani ya msikiti wa Gadaffi mjini humo

Ndani ya Msikiti wa Gadaffi mjini Dodoma waumini wa Dini ya kiislamu wakisikiliza mawaidha


Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiswali wakati wa ibada ya Eid katika msikiti wa Gadaffi Dodoma IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG


Baada ya Swala ya Eid El Fitri Kaimu Shekh Mkuu huyo akazunguza na waandishi

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG