Washauri wa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakiwa katika
mkutano uliofanywa na Rais kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya leo katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar ambao mkutano huo umewataka wakuu hao
kutekeleza majukumu yao kama sheria za Utumishi zinavyoeleza na sio
kufanya kazi kwa mazoea,[Picha na Ikulu.] 04/07/2016.
Tags
HABARI KITAIFA