Tamasha
kubwa la mazoezi ya kujenga mwili lilifanyika katika viwanja vya
Leaders Club na kuwahusisha mamia ya wananchi wenye jinsia na rika
mbalimbali na yaliendeshwa na wataalamu mbalimbali wa fani ya mazoezi ya
viungo, Tamasha hilo lilidhaminiwa na kampuni ya TBL Group kupitia
kinywaji chake kisicho na kilevi cha Grand Malt chini ya mpango wa
kampuni hiyo wa Afya Kwanza na mgeni wa rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya
Kinondoni,Ally Hapi.
Tamasha
hilo la aina yake lililofanyika leo lilijumuisha mazoezi na michezo ya
aina mbalimbali ambayo ilitoa fursa kwa aliyefika eneo hilo kuchagua
kushiriki mazoezi na mchezo wowote anaoutaka
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni
akisalimiana na baadhi ya wanamichezo waliohudhuria katika bonza la
kujenga Afya kwa wananchi lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club
kwa Udhamini wa Kinywaji cha Grand Malt
Mkuu
wa wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi akikabidhi zawadi ya kuku Neema
Ndimbo wa klabu ya Jogging ya Kawe mara baada ya kuibuka mshindi wa
kufukuza kuku kwa wanawake wakati wa bonanza la Afya kwa watanzania
liliozishirikisha klab za Jogging za jijini Dar es Salaam, katika
viwanja vya Leaders Club kwa Udhamini wa Kinywaji cha Grand Malt.Kushoto
anaye shuhudia ni Meneja Matukio wa taifa wa TBL Group George Mwombeki .
Wakazi
wa Dar es salaam wakishiriki kufanya mazoezi katika tamasha kubwa la
mazoezi ya kujenga mwili lililofanyika katika viwanja vya Leaders jijini
Dar es Salaam ambalo mmoja wa wadhamini wa tamasha hilo ni TBL Group
kupitia kinywaji cha Grand Malt
Wakazi
wa Dar es salaam wakishiriki kufanya mazoezika tamasha kubwa la mazoezi
ya kujeng mwili lililofanyika katika viwanja vya Leaders jijini Dar es
Salaam ambalo mmoja wa wadhamini wa tamasha hilo ni TBL Group kupitia
kinywaji cha Grand Malt
Wakazi
wa Dar es salaam wakishiriki kufanya mazoezika tamasha kubwa la mazoezi
ya kujeng mwili lililofanyika katika viwanja vya Leaders jijini Dar es
Salaam ambalo mmoja wa wadhamini wa tamasha hilo ni TBL Group kupitia
kinywaji cha Grand Malt
Tags
KIBURUDANI