BANDA MEDIA BLOG

KANISA LA ELIM PENTEKOSTE TANZANIA LENYE MAKAO MAKUU YAKE MKOANI TANGA LAFANYA MKUTANO WAKE MKUU MJINI DODOMA

Mmishonari kutoka Raia wa Uingereza Rev Richard Buxton akifafanua jambo wakati akihubiri katika mkutano mkuu wa Mwaka wa kanisa la Elim Pentekoste Tanzania unaofanyika kwa siku 4 mjini Dodoma, Kulia ni mke wake Rajinder Buxton
Askofu mkuu wa Kanisa la Elim Pentekosete nchini kenya akihubiri katika mkutano huo uliowakutanisha wachungaji na watumishi wa ngazi mbalimbali za uongozi toka ndani na nje ya nchi IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

Askofu Akiabudu kwa kuinua mikono

Wajumbe wa mkutano huo wakifurahia jambo

Kitabu kikitiwa wakfu
Askofu Peter Konki wa Tanzania  na Mkewe Wakiombewa
Picha ya pamoja kati ya Viongozi wa kanisa hilo wa nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania
Maasikofu hao wakionyesha Fedha na kitabu mara baada ya kukizindua
Wajumbe wa mkutano huo

katibu mkuu wa Kanisa la Elimu Pentekoste Tanzania [K.E.P.T] Raphael Dismas Mhando akimkabidhi Fedha Askofu wa kanisa hilo nchini Kenya Rev. Dr. Saimon Githing na kitabu Askofu Peter Konk wa Tanzania mara baada ya changizo la uzinduzi wa kitabu cha Malezi na makuzi ya kanisa, wakati wa mkutano mkuu wa kanisa hilo mjini Dodoma

Askofu  mkuu wa kanisa hilo Nchini Peter Konki akisaini Kitabu chake MALEZI NA MAKUZI YA KANISA mara baada ya kukizindua



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG