![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza wakati akifungua semina ya wadau wa Tasnia ya filamu jijini Arusha na wasanii wa mkoa wa arusha wanaondelea na semina yao ya siku mbili kwenye shule ya msingi Arusha(Arusha School) ambapo aliwaahidi kuwa nao bega kwa bega na kuahidi kusimamia asilimia 5% ya vijana nao wanapata ilikuendeleza vipaji vyao picha zote na mahmoud ahmad arusha |
| Mkuu wa mkoa akipokea zawadi ya Cd kutoka kwenye chama cha wasanii wa filamu jiji la Arusha(TDFAA)kama shukrani kwa mcgango wake kwa chama hicho na wasanii wa Arusha kwa ujumla. |
| Kaimu Mkurugenzi wa jiji la Arusha Tajjiel Mahega akiongea kwenye hafla hiyo. |
| Mkuu wa mkoa na viongozi wa serikali mkoani hapa wakiwa wamesimama baada kupokea zawadi kutoka kwa wasanii wa filamu |
| Kaimu mkurugenzi wa jiji la Arusha Tajjiel Mahega akiongea neno kabla ya kumkaribisha mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kuzindua semina hiyo |
![]() |
| Add caption |
| Mkuu wa mkoa akiongea na vyombo vya habari waliofika kwenye semina hiyo nje ya ukumbi baada ya kumaliza kufungua semina hiyo |
| Add caption |
\
Tags
HABARI KITAIFA

