BANDA MEDIA BLOG

HII NDIYO AJALI INAYOSEMEKANA KUONDOA UHAI WA MUANDAAJI WA MISS KANDA YA KATI NA MWENYEKITI WA UWT MKOA WA DODOMA BI SALOME KIWAYA, APATA AJALI MUDA MFUPI BAADA YA KUWATOA MAMISI UDOM KUPANDA MITI KABLA YA ONYESHO JIONI YA SIKU YA KIFO CHAKE, YAELEZWA KUWA UHABA WA VIFAA VYA UOKOAJI VYASABABISHA KIFO

Lori la mizigo likionekana jinsi lilivyokita juu ya gari dogo aina ya noah na kusababisha kifo cha mtu mmoja 

Waokoaji wakitafuta namna ya kuliondoa Lori la mizigo lililokuwa limekandamiza Gari dogo aina ya Noah lilokuwa limekandamizwa na sehemu ya lori hilo mara baada ya kutokea kwa ajali hiyo katika Eneo la Emaus ya kwanza barabra ya Dodoma Morogoro leo Oct 7,2016  IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

Mmoja wa majeruhi akiwahishwa kwenye gari la polisi na kukimbizwa hospitali baada ya kufanikiwa kuchomolewa kwenye Gari alipokuwa amenasa

Wakazi wa manispaa ya Dodoma wakishuhudia ajili hiyo iliyotokea karibu na kituo cha Emaus ya kwanza barabara ya Dodoma Morogoro

Kamanda wa kikosi cha Uokoaji cha zimamoto mkoa wa Dodoma akiongea na vyombo vya habari kwenye ajali hiyo

Basi la wanafunzi wa shule ya Adrea Mwaka lilonusulika kwenye ajiali hiyo japo ambapo dereva alipelekwa hospatali kwa matibabu

Mmoja wa waokoaji akijaribu kumchomoa mmoja wa majerehi aliyekuwa amenasa kwenye Gari dogo aina ya noah aliyokuwa imelaliwa na na lori la mizigo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG