BANDA MEDIA BLOG

KIWANDA CHA MAGODORO DODOMA CHAFANIKISHA UPIMAJI WA MAGONJWA YA MOYO NA KISUKARI KATIKA HOSPITALI YA MKAPA ILIYOPO UDOM

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme akifanyiwa Vipimo vya moyo na Nesi wa Hospital ya Mkapa iliyopo UDOM kulia ni Daktali Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Hospaitali hiyo Meda John

Daktali Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa watoto wa Hospitali ya Bugando Glory Joseph, akimchukua Vipimo vya moyo kwa kutumia mashine maalumu mtot wakati wa upimaji na utoaji matibabu ya bure uliofanywa na Mfanyabiashara wa Magodoro  Dodoma Haidaly Gulamali aliyewaleta mabingwa hao 14 toka nchini India, upimaji huo ukifanyiwa katika hospitali ya Mkapa mjini Dodoma

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme akisikiliza maelezo ya Madaktali Bingwa wa Magonjwa ya Moyo katika hospitali ya Mkapa iliyopo mjini humo wakati wa upimaji na utoaji wa matibabu ya Bure kwa magonjwa hayo IMEANDALIWA NA BANDA BLOG

Vipimo vikiendelea

Mfanyabiasha wa Magoro Dodoma Haidaly Gulamaly akizungumza na waandishi wa habari wakati zoezi hilo likiendelea

Wagonjwa wakiendelea kujiandisha siku ya kwanza

John Banda ambaye ni mmiliki wa Blog hii akipata vipimo mbalimbali ambapo hata hivyo alishauliwa kupunguzoa uzito

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG