BANDA MEDIA BLOG

LADY Jay Dee Adai Wasanii Wakubwa Wanaigana Kuanzisha Record Lebo...Adai sio Lazima


Mwimbaji Lady Jay Dee amefungukia kuhusu Wimbi la Wasanii wakubwa Kuanzisha Lebo za Mziki
amefunguka haya:

“Sio lazima kila mtu awe na record label,” alisema Lady Jay Dee. “Kila msanii ana namna ambavyo anafanya kazi. Kwahiyo suala la record label kwa sababu msanii fulani anayo sio lazima,”

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG