BANDA MEDIA BLOG

MKUU WA WILAYA YA DODOMA MJINI CHRISTINA MNDEME ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL LINK ZILIZOPO MJINI HUMO

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Christina Mndeme na Mkurugenzi wa Wakala wa Vyuo vikuu vya nje [Global Education Link] Abdulmalik Mollel, wakifurahia jambo wakati mkuu huyo wa Wilaya apotembelea Ofisi yao iliyopo Nyerere Square mjini humo

Mkurugenzi wa Global Link Abdumalik Mollel akifafanua jambo wakati alipokuwa akiongea na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme aliyetembelea katika ofisi hiyo ya wakala wa vyuo vikuu vya nje

kwa heli [PICHA NA JOHN BANDA]

karibu

Picha ya Pamoja kati ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma  Christina Mndeme na wafanyakazi wa Global Link kituo cha Dodoma


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG