BANDA MEDIA BLOG

Wanawake Waliosoma Sheria (Law) Ndio Wanaoongoza Kuwa 'Single Mothers' Tanzania


Habarini Wadau,

Hilo nililoliandika nimelifanyia utafiti wa kina.

Tofauti na mabinti/wanawake waliosoma courses zingine...waliosoma Law wengi hawajaolewa ila wanamegwa tu kisela na wengi wao wana mtoto au watoto ila hawana waume.

Sababu kubwa ni hizi:

◆ Hakuna Mwanaume anayetaka kuletewa vifungu vya sheria kwenye nyumba yake na ujinga ujinga wa haki sawa.

◆ Wanawake wa hivyo wanakuwaga na ukatili na kujiamini kupita kiasi, nafikiri ni kutokana na hukumu wanazosoma

◆ Wakati huo huo waalimu ndio wanaoongoza kwa kuolewa na kuishi vizuri ndoani.


Nawasilisha.
Azarel

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG