Breaking News: Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU Na Ukimwi
byJohn Banda-
0
Serikali kupitia Wizara Ya Afya imevifuta Vituo vyote vinavyotoa huduma
za Afya ya VVU Na Ukimwi kwa Makundi Maalum baada ya kubainika kwamba
Vituo hivyo vinahusika na kuhamasisha Mapenzi ya Jinsia Moja na Ushoga.