Mkuu
wa wilaya ya Ilala, kwa kushirikiana na Wakala wa vipimo Tanzania
(WMA), mkoa wa Ilala, amefanya ziara ya kustukiza katika maeneo
mbalimbali, katika kampeni yake ya kudhibiti vipimo na mizani ‘feki’.
Pichani, Mjema akikagua mzani kwenye bucha moja eneo la Kariakoo, Dar es
Salaam, akiwa katika ziara hiyo, Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo na kulia ni mfanyakazi katika bucha hiyo, Omar Khalfan.
MWANZO WA ZIARA HIYO
|