WAZIRI MKUU ATEMBELEA KAMBI YA MUDA YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO YA KATESH
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mzee Martin Daniel wakati alipotembelea kambi ya muda ya watu waliopoteza nyumba zao katika mafuriko yaliyotokea Katesh mkoani Manyara, Disemba 5, 2023. (Picha na Ofisi ya Wazziri Mkuu)



