BANDA MEDIA BLOG

SHABIKI MAARUFU JIJINI MWANZA AFARIKI DUNIA


 Mwanachama maarufu wa klabu ya Yanga maarufu kama mama *KADUTU wa Mwanza amefariki Dunia ( akiwa GEITA) dakika 70 wakati wa mchezo wa Memelodi v Yanga Sc  ukiendelea

Mama KADUTU ameanza kujisikia Presha dakika ya 70 ya mchezo na kukimbizwa hospital ambapo amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu

MTOTO WA MWISHO wa mama Kadutu RUBEN Amethibitisha mama yake kufariki 

“MAMA KAFARIKI HUKO GEITA” amesema RUBEN

Chanzo mtoto wa Marehemu

@cloudsfmtz @daudiwakota

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG