BANDA MEDIA BLOG

JENERALI MKUNDA AFUNGUA MAZOEZI YA MADENI UMOJA 2024, ASISITIZA USHIRIKIANO KIMATAIFA

 

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda akipewa maelezo ya ufanisi wa Silaha za kivita za Jeshi la Ukombozi la watu wa China  katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda (kushoto) akimkabidhi Bendera ya Taifa Mkuu wa Mazoezi ya medani, Umoja 2024 Meja Jenerali Fadhili Omar Nondo wakati akifungua Mazoezi ya medani, Umoja 2024 leo Julai 29, 2024 katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani kwa ajili ya kuadhimisha Miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi  la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na Ushirikano wa  Jeshi la Ukombozi la watu wa China.

 

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda (kushoto) akizungumza jambo leo Julai 29, 2024 katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani  wakati akifungua Mazoezi ya medani, Umoja 2024 wanaoshiriki Jeshi la Ulinzi  la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na  Jeshi la Ukombozi la watu wa China kwa ajili ya kuadhimisha Miaka 60 ya JWTZ pamoja na Ushirikano na Nchi ya China.
Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Meja Jenerali Ibrahim Michael  Mhona akizungumza jambo  leo Julai 29, 2024 katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani  wakati wa ufunguzi  wa Mazoezi ya medani, Umoja 2024 wanaoshiriki JWTZ pamoja na  Jeshi la Ukombozi la watu wa China kwa ajili ya kuadhimisha Miaka 60 ya JWTZ pamoja na Ushirikano na Nchi ya China.
Msaidizi Mkuu wa Majeshi, Jeshi la Ukombozi la watu wa China Meja Jenerali Ye Dabin akizungumza jambo leo Julai 29, 2024 katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani  wakati wa ufunguzi wa  Mazoezi ya medani, Umoja 2024 wanaoshiriki ni JWTZ pamoja na  Jeshi la Ukombozi la watu wa China kwa ajili ya kuadhimisha Miaka 60 ya JWTZ pamoja na Ushirikano na Nchi ya China.
 
Jeshi la Ukombozi la watu wa China wakiwa katika picha ya pamoja.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa katika picha ya pamoja.
   
Makomando wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani  katika ufunguzi wa  Mazoezi ya medani, Umoja 2024 na Jeshi la Ukombozi la watu wa China 
  
Picha za matukio mbalimbali wakati wa ufunguzi wa  Mazoezi ya medani, Umoja 2024 iliofanyika leo Julai 29, 2024 katika Kambi ya CTC Mapinga iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani (Picha na Noel Rukanuga)

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG