......................
NA JOHN
BANDA, DODOMA
MIUNDOMBINU ya
reli ya kisasa SGR kutoka Morogoro hadi Dodoma imekamilika kwa kiwango kikubwa
hatua inayowezesha treni ya mwendo kasi inayotumia umeme kuanza kusafirisha abiria na Mzigo kutoka Dar es
salama hadi Dodoma.
Akizungumza na
waandish wa habari jijini Dodoma, Waziri wa uchukuzi Prof. Makame Mbalawa amesema
baada yazira yake ya kikazi ya kukagua miundombinu ya reli hiyo kutoka jijini
Dar s salaam mpaka Dodoma
Aidha Prof Mbalawa
anabainisha ghalama zilizotumika katika mradi huu wa kimkakati huku mkurugenzi wa miundombinu
ya shirika la Reli TRC Mhandsi Machibia
Shiwa akibainisha majaribio yaliyokwisha fanyika na shirika hilo.
Safari ya
kwanza ya treni inayotumia umeme kutoka Dar es salama kuishia Morogoro ilianza
kutoa huduma tarehe 14/06/2024 na sasa inatarajiwa tarehe 25/07 / mwaka huu
kuanza safari zake kutoka Dar es salama mpaka jijini Dodoma.
TAZAMA VIDEO
