BANDA MEDIA BLOG

RAIS DKT. SAMIA AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU NDOGO ZANZIBAR

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Julai, 2024. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka pamoja na Viongozi walioapishwa katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 05 Julai, 2024. Kutoka kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Said Jafo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji, Katibu Mkuu wa Madini Mhandisi Yahya Ismail Samamba pamoja na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Yusuph Juma Mwenda.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG