BANDA MEDIA BLOG

Yanga imewaongezea kandarasi nyota hawa, wanaosepa orodha iko hapa

 Yanga Imewaongezea Kandarasi Nyota Hawa, Wanaosepa Orodha iko hapa

Klabu ya Yanga imewaongeza mikataba wachezaji wake wafuatao:

◉ Djigui Diarra - Mali

◉ Kibwana Shomari - Tanzania

◉ Bakari Mwamnyeto - Tanzania

◉ Khalid Aucho - Uganda

◉ Pacome Zouzoua - Ivory Coast

◉ Farid Mussa - Tanzania

◉ Stephane Aziz Ki - Burkina faso

◉ Jonas Mkude - Tanzania

◉ Clement Mzize - Tanzania

◉ Nickson Kibabage - Tanzania


◎ Aboutwalb Mshery - Tanzania (Bado).


Wachezaji ambao wamemaliza mikataba na hawataongezewa mikataba mipya:

◎ Joseph Guede - Ivory Coast

◎ Zawadi Mauya - Tanzania

◎ Metacha Mnata - Tanzania

◎ Skudu Makudubela - Tanzania

◎ Okrah - Ghana (Mkataba umesitishwa).

◎ Joyce Lomalisa - Congo DR.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG