BANDA MEDIA BLOG

PAMOJA NA KUWAFUNDISHA MAKASISI UPENDO LAKINI BADO BAADHI YENU MNAFITINIANA NA KUONEANA WIVU- ASKOFU DKT CHILONGANI


 Dini wa kanisa Anglikana Jimbo la Tanzania Askofu Dkt. Dickson Chilongani amebainisha kuwa mara kadhaa amekuwa akiwafundisha Makasisi (Wachungaji) wa kanisa hilo kuhusu kupendana wao kwa wao.

Hata hivyo anasema anashangazwa kuona kuwa baadhi ya Makasisi Bado hawapendani, wanafitiniana na kuomeana wivu. 

"Nimekuwa nikiwafundisha makasisi upendo wapendane wao kwa wao lakini nashangazwa kuna baadhi yao bado hawapendani, wanafitiniana na kuoneana wivu", amesama

Mhashamu Askofu Dkt Dickson Chilongani. 

Utulivu wa Makasisi 2026 - Serengeti.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG