![]() |
Baba mzazi wa diwani mteule wa Kata ya Buigiri Daudi Nyamanga(Mwenye shati jeupe) akitoa usia kwa mwanae Kenneth Yindi(wa kwanza kushoto) mara baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi katika ofisi za Afisa Mtendaji wa Kata ya Buigiri. (Picha na Ramadhan Hassan) |
Tags
HABARI KITAIFA


