BANDA MEDIA BLOG

MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA- UTPC MJINI MOROGORO

Hapa ni katika ukumbi wa Flomi Hotel mjini Morogoro ambako leo Ijumaa Novemba 06,2015 kunafanyika mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania-UTPC wanakutana kujadili mambo mbali mbali ili kuboresha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania.Mkutano huo wa siku mbili unakutanisha wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari Tanzania,makatibu na waweka hazina.Katika mkutano huo pia utafanyika uchaguzi wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi wa UTPC-Fuatilia picha hapa chini kinachoendelea ukumbini-Picha zote na Kadama Malunde na Shomari Binda-Malunde1 blog.
Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akiwasalimia wajumbe wa mkutano huo.
Kushoto ni mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan,akifuatiwa na makamu wa rais UPC Jane Mihanji,rais wa UTPC Kenneth Simbaya na mwenyekiti wa kamati ya maadili UTPC Deo Nsogolo


Kauli mbiu ya mkutano huo ni "Tumia Klabu za waandishi wa habari kwa maendeleo ya mkoa wako"

Add captionMkutano unaendelea















Wajumbe wa mkutano wakiwa ukumbini.

Rais wa UTPC anayemaliza muda wake Kenneth Simbaya akifungua mkutano.


Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akizungumza ukumbini.

Rais wa UTPC Kenneth Simbaya akikabidhi hati ya usajili ya Katavi Press Club kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Walter Mguluchuma.



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG