BANDA MEDIA BLOG

EL NINO YAPASUA MIFUMO YA KUPITISHIA MAJI TAKA JIJINI NAIROBI

Tukio la mafuriko makubwa katika Jiji la Nairobi limeonekana kudhibitiwa kiasi lakini kupasuka kwa mifumo ya maji taka na maji yake kuingia kwenye mito kumeanza kuzua hofu kwa wakazi wa Jiji hilo.

Kuonekana kuzagaa kwa maji taka kumeonekana kuwa ni jambo la kawaida baada ya mifumo ya kupitishia maji taka kuvunjika na kutoboka kutokana na mvua kubwa zinazohusishwa na El Nino.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG