Ulikuwa
ni usiku mzuri kwa Theo Walcott aliyeifungia Arsenal bao la kuongoza
katika dakika ya 33 ya mchezo na baadaye Olivier Giroud akaandika bao la
pili katika dakika ya 45. Bao la Manchester City lilifungwa na Sergio
Aguero
Kwa matokeo hayo, Arsenal wamesimama katika nafasi ya pili wakiwa na ponti 36 .Mbona sielewi!! Kocha wa Man City Pellegrini akilalama jambo
Leo hamtoki bila kuumizwa!! Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akifurahia jambo
Tags
MICHEZO KIMATAIFA






