| Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Gallawa akizindua Baraza jipya la Madiwani wa manispaa ya Dodoma, na kuwataka kuchapa kazi |
| Baadhi ya Madiwani hao wakiapa kabla ya Baraza hilo kuzinduliwa na mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gllawa |
| Katibu wa Baraza hilo, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Clemens Mkusa akizungumza jambo katika baraza hilo la kwanza la madiwani |
| Msitahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Jaffari Mwanyemba akizungumza kwenye Baraza hilo, Kulia ni Naibu wake Jumanne Ngede na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Clemens Mkusa |
| Madiwani hao wakiwa ndani ya ukumbi wa Manispaa katika Baraza la kwanza tangu kuchaguliwa kwao |
| Diwani wa Kata ya Kizota Jamal Ngalya Chadema akiwatuliza wafuasi wa Chama chake kutokana na kuzidisha kushangilia kwa sauti ya juu nje ya ukumbi huo wakati zoezi la kuapishwa likiendelea |
| Waandishi wa habari wakisubiri matukio nje ya ukumbi huo |
Tags
HABARI KITAIFA