| Tingatinga la CDA moja ya nyumba katika eneo la Mbwanga Manispaa ya Dodoma |
| Wakazi wa Mbwanga manispaa ya Dodoma wakilinda vyombo vyao Baada ya nyumba zao kubomolewa na tingainga la mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA |
| Wafanyakazi wa CDA wakisimamia uvunjaji wa nyumba katika Mtaa wa Ndachi B [Mbwanga] Manipaa ya Dodoma wakifurahia jambo wakati zoezi la Bomoabomoa Likiendelea |
| Mkazi wa Mbwanga akiwa mbele ya Nyumba yake kabla nyumba hiyo kubomolewa na Tingatinga la CDA |
| Mkazi huyo akiwana baadhi ya thaman zake za ndani baada ya nyumba yake kuvunjwa |
| Bomoabomoa ikiendelea |
| Askari polisi akilinda usalama |
| FFU wakizuia wakazi wa eneo hilo ili wasisogelee wavunjaji katika eneo hilo la Mbwanga |
| Wakazi wa Mbwanga wakiangalia ubomoaji wa nyumba zao zilizobomolewa na mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA huku wakilalamikia kutopewa taarifa ya uvunja huo |
Tags
HABARI KITAIFA