| Waendesha Bajaj hao wakijadiliana jambo |
| Kutokana na Kitendo hicho Ikamlazimu Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Clemens Mkusa afike kuwasikiliza na kisha kuwataka waendelee kutoa huduma wakati swala lao linashuhulikiwa |
| Kaimu Mkurugenzi huyo akiwatuliza waendesha Bajaji hao kabla ya kuzungumza nao |
| Baada ya mazungumzo hayo waendesha bajaj hao wakazunguka mtaa wa pili wa NK ambapo wenzao walikamtwa na kisha wakaendelea kupakia Abiria |
Tags
HABARI KITAIFA