BANDA MEDIA BLOG

WATU WAPATAO 100 WAHOFIWA KUFA KATIKA KIWANDA CHA GESI BAADA YA KUTOKEA MLIPUKO

Idadi watu wapatao 100 wanahofiwa kufa katika tukio la mlipuko uliotokea kwenye mtambo wa gasi kwenye kiwanda kusini-mashariki mwa Nigeria.

Imeelezwa kuwa Lori moja lililipuka wakati likishusha gesi ya kupikia majumbani aina ya butane katika mji wa Nnewi kwenye jimbo la Anambra.

Polisi wa eneo hilo wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo lakini hawakutoa taarifa zaidi za tukio hilo ambalo mlipuko huo ulifuatiwa na moto mkubwa uliodumu kwa saa tano

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG