BANDA MEDIA BLOG

WAZIRI KITWANGA: HATUA KALI KUCHUKULIA KWA YEYOTE ATAKAYE KAIDI KULIPISHA GARI LA ZIMAMOTO WAKATI LINAENDA KATIKA TUKIO

a34c9137-fac5-4fb1-b500-0d7d1fa05c3e
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akimsalimia Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha wakati alipowasili Makao Makuu ya Jeshi hilo, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.
9c9a0ba0-63b2-4309-8ec8-21cfe13c6b21
Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kushoto) akitoa taarifa ya utendaji wa Jeshi lake Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga wakati Waziri huyo alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.
10a2eb4c-ef3a-4ce0-ba90-1d0fc9847db8
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  wakiongozwa na Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kulia kwa Waziri) wakati Waziri huyo alipofanya ziara Makao Makuu ya Jeshi hilo, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam leo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.

8ace9b2c-aeff-4ab9-82b0-32d89053c769
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akiondoka Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mara baada ya kuzungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiongozwa na Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kulia). Katika hotuba yake kwa viongozi hao wa jeshi, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.
61434f49-a7f1-4dfd-821b-01c0b5a084b1
Mkufunzi wa Masuala ya Majanga wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Christopher Marwa (kulia) akimuonyesha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (aliyevaa tai), gari la Uokozi ambalo lina vifaa mbalimbali vya uokozi. Waziri Kitwanga alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo, na baadaye kujifunza kazi mbalimbali za jeshi hilo katika Kituo cha Zimamoto Kanda ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 
fe1fa479-4462-454e-a13c-3c6842126a4e
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara yake katika Kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kanda ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake kwa waandishi hao wa habari, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa mtu yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG