BANDA MEDIA BLOG

MKOA WA DODOMA WAZINDUA RASMI KAMPENI YA UGAWAJI VYANDARUA FEBRUARI 2016

Wananchi wa mitaa mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma wakiwa wamejipanga kwenye mistari ya kusubiria kugawiwa vyandarua vya bila malipo

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Gallawa akigawa vyandarua vya bure kwa wakazi wa wilaya ya  Chamino IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akiwafundisha wananchi wa Chamwino Ikulu namna bora ya kuwakinga watoto dhidi ya mbu na malaria kwa kuwalaza kwenye vyandarua wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua Mkoani humo

Maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino Dodoma wakiwaonesha Wananchi wa Chamwino Ikulu namna bora ya kujikinga dhidi ya mbu na malaria kwa kulala kwenye vyandarua wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua vya bila malipo Mkoani humo
Kikundi cha ngoma za asili ya kigogo cha Chamwino Ikulu Dodoma  kikitumbuiza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Mkoa wa Dodoma ya kugawa vyandarua vya bila malipo kwa kaya 

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG