………………………………………….
Na fredy mgunda,iringa
Wananachi wa maeneo mbalimbali ya jimbo la mafinga mjini wamesema utaratibu wa mbunge wao Cosato
Chumi kwa kwenda kutembelea maeneo yenye kero ni dalili njema zinazoonyesha
kuwa hawakufanya makosa kumchagua kuwa mbunge wao na kuongeza hatadanganywa na
watendaji walioko chini yake tatizo linalosababisha viongozi wengi kutoa
maamuzi yasiyo sahihi na yanayoendelea kuiathiri jamii.
Chumi kwa kwenda kutembelea maeneo yenye kero ni dalili njema zinazoonyesha
kuwa hawakufanya makosa kumchagua kuwa mbunge wao na kuongeza hatadanganywa na
watendaji walioko chini yake tatizo linalosababisha viongozi wengi kutoa
maamuzi yasiyo sahihi na yanayoendelea kuiathiri jamii.
Aidha wananchi hao wamempongeza mbunge wao kwa juhudi anazo zifanya za kukutana na watadau
mbalimbali kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.
Continue reading →mbalimbali kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.
Tags
HABARI KITAIFA
