Mjengo
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar lilioko katika mitaa ya Chukwani
Zanzibar linategemea kuaza Vikao Vyake March 20, 2016 kwa Wawakilishi
kula kiapo na Kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Ukumbi
wa Mikutano wa Baraza la Wawakilishi Chukwani ukiwasubiri Waheshimiwa
kuapishwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Shein kulihutubia siku ya 30 March 2016 jioni.
Mwakilishi
Mteule wa Jimbo la Mahonda Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika Jengo
la Afisi ya Baraza la Wawakilishi chukwani kwa ajili ya Usajili wa
matayarisho ya Wajumbe kuaza kwa Kikao cha Baraza baada ya kukamilika
kwa Taratibu za kuwasajili Waheshimiwa Wawakilishi na kuapishwa na
Spika.
Wawakilishi
Wateuli wakiwasili katika Jengo la Afisi za Baraza la Wawakilishi
Chukwani Mwenye shati jeupe Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Ali Salum na
Mwakilishi wa Jimbo la Chumbuni Miraji.
Tags
SIASA