![]() |
| Kaimu Mganga Mkuu wa Hospatal ya Mkoa wa Dodoma Dkt, Nassol Mzee akifafanua Jambo kwenye kikao hicho |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa Wa Dodoma akifungua Kikao cha wadau wa Afya mjini Dodoma jana |
![]() |
| Wadau wa Afya |
![]() |
| Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Rufaro Chatora akizungumza katika kikao hicho cha kutengeneza mkakati wa kutokomeza ugonjwa wa Kipindupindu ambacho bado ni tishio |
| Mwakilishi wa WHO Rufaro Kitara na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Gallawa wakifungua Boksi lenye vidonge vya Kuua vimelea vya kipindupindu |
Tags
AFYA









