Mkurugenzi
wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi
Liliani Beleko akiongea na wanafunzi wa shule ya Msingi ya Mwalimu
Nyerere Magomeni wakati wa uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini
ya Taasisi ya Ariseamka Afrika leo jijini Dar es Salaam,kulia kwake ni
Msaidizi Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus
Abedi na kulia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Ariseamka Afrika Bi.Kulthum
Maabad.
Msaidizi
Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi
akionyesha moja ya kitabu ambacho kiliandikikwa na Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini
ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi
historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa,kulia
ni Afisa Elimu Vifaa naTakwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko na
kushoto ni Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko
Mwanzilishi
wa Taasisi ya Ariseamka Afrika Bi.Kulthum Maabad akionyesha kipeperushi
chenye taarifa za wapigania uhuru wa Afrika katika sherehe za uzinduzi
wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika
itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa
Afrika,lugha,uongozi na sanaa katika kilele cha kuazimisha wiki ya
ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es Salaam,kushoto kwake ni Mwalimu
Mkuu wa Shule ya Msingi ya Mwalimu Nyerere Magomeni Bw.Odas Bambaza.
Afisa
Elimu, Vifaa na Takwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko akiongea na
wanafunzi wa shule ya Msingi Mwalimu Nyerere ya magomeni
(hawapokatikapicha) wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu
Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha
wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na
sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo
jijini Dar es Salaam ,wa kwanza kushoto ni Msaidizi Maalum wa
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi na Mkurugenzi
wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi
Liliani Beleko.
Msaidizi
Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi
(kushoto) akikabidhi vitabu kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya
Mwalimu Nyerere Magomeni Bw.Odas Bambaza,kwa ajili ya wanafunzi
kujisomea na kuijua kiundani historia ya nchi katika sherehe za uzinduzi
wa ya klabu Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika
itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa
Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya
ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es Salaam,katika ni Afisa Elimu,
Vifaa na Takwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko
Mkurugenzi
wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi
Liliani Beleko(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na
wageni waalikwa wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu
Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha
wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na
sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo
jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi
Liliani Beleko(katikati) ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha
ya pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya
Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa
ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa
Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya
ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Lorietha
Laurence-WHUSM)