BANDA MEDIA BLOG

Klabu ya Mwalimu Nyerere yazinduliwa jijini Dar es Salaam

k1Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka  Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko akiongea na wanafunzi wa shule ya Msingi ya Mwalimu Nyerere Magomeni wakati wa uzinduzi  wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika leo jijini Dar es Salaam,kulia kwake ni Msaidizi Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi na kulia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Ariseamka Afrika Bi.Kulthum Maabad.
k2Msaidizi Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi akionyesha moja ya kitabu ambacho kiliandikikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa,kulia ni Afisa Elimu Vifaa naTakwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko na kushoto ni Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka  Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko
k3Mwanzilishi wa Taasisi ya Ariseamka Afrika Bi.Kulthum Maabad akionyesha kipeperushi chenye taarifa za wapigania uhuru wa Afrika katika  sherehe za uzinduzi wa  klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es  Salaam,kushoto kwake ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Mwalimu Nyerere Magomeni Bw.Odas Bambaza.

k4Afisa Elimu, Vifaa na Takwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko akiongea na wanafunzi wa shule ya Msingi Mwalimu Nyerere ya magomeni (hawapokatikapicha) wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es  Salaam ,wa kwanza kushoto ni Msaidizi Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi na Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka  Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko.
k5Msaidizi Maalum wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Bw. Gallus Abedi (kushoto) akikabidhi vitabu kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Mwalimu Nyerere Magomeni Bw.Odas Bambaza,kwa ajili ya wanafunzi kujisomea na kuijua kiundani historia ya nchi katika sherehe za uzinduzi wa  ya klabu Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es  Salaam,katika ni Afisa Elimu, Vifaa na Takwimu Manispaa ya Kinondoni Bi. Sion Nnko
k6Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es  Salaam.
k7Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezi Bi Liliani Beleko(katikati) ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa wakati wa sherehe za uzinduzi wa klabu ya Mwalimu Nyerere chini ya Taasisi ya Ariseamka Afrika itakayokuwa ikiwafundisha wanafunzi historia ya viongozi mbalimbali wa Afrika,lugha,uongozi na sanaa ,katika kilele cha kuazimisha wiki ya ukombozi wa Afrika leo jijini Dar es  Salaam.(Picha na Lorietha Laurence-WHUSM)

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG