BANDA MEDIA BLOG

WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA NA WA PILI WA KOZI MAALUM NGAZI YA DIPLOMA WALIOFUKUZWA UDOM BADO WANAHAHA KWA KUKOSA USAFIRI.

Wanafunzi waliofukuzwa UDOM wakiwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani kwa siku mbili mfululizo kusubili usafiri

Wanafunzi hao wakiwa wamejazana katika ofisi za maajenti wa Mabasi yaendayo mikoani huku wakikosa uhakika wa safari kutokana na uhaba wa mabasi. IMEANDALIWA NA BANDA BLOG   



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG