Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dk.Lenard Akwilapo
akikabidhiwa picha na Mwakilishi Makazi wa Shirika la KAS, Daniel
El-Noshokaty ya waasisi wa ushirikiano kati ya Tanzania na Shirika
lisilo la Konrad Adenauer Stiftung (KAS) la nchini Ujerumani, Hayati
Mwalimu Julius Nyerere (kushoto pichani) na Konrad Adenauer (kulia),
wakati wa Kongamano la la kitaifa na kimataifa lililokuwa na mada yake
kuu uadilifu wa viongozi na utawala bora katika usimamizi wa maliasili
kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Tanzania lililofanyija katika Chuo
cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni Dar es Salaam juzi.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Philip Mangula akichangia jambo kwenye kongamano hilo.
Taswira katika ukumbi wakati wa kongamano hilo.
Tags
HABARI KITAIFA