"WATASIMULIWA WAMESHUGHULIKIWAJE?"
Msemaji wa Jeshi la ulinzi wa Wananchi wa Tanzania amesema aliyeandika
habari kuwa Jeshi limeibiwa Kifaru atawasimulia waandishi wengine jinsi
atakavyoshughulikiwa
"Kwanza ni waambie Kifaru sio bajaji sio Landrover kwamba unaweza
kuibeba Kifaru kinapowaka lazima mlio wake utagundulika. Kama mmeanza
kutafuta KIKI kupitia Jeshi hatuwezi kuwavumilia. Hii sio sehemu ya
kutafutia umaarufu.
''Sisemi tutamfanya nini?? Ila yeye ndio atasema AMEFANYWA NINI NA JESHI
Na tumeliomba Jeshi la Polisi ituachie wenyewe kesi hii" - Kanali Ngemara Lubinga
