Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (aliyesimama) akiwaonesha Wananchi wa
Kijiji cha Ikengwa Kondoa Naakala ya tangazo la Serikali lililotangaza pori la
akiba la Mkungunero wakati wa mkutano wa kujadili mgogoro baina ya wanachi hao
na pori la akiba katikati ya Wiki
 |
| Mkuu
wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Shaban Kissu (aliyesimama) akizungumza na Wananchi wa
Kijiji cha Ikengwa Kondoa juu ya mgogoro baina yao na pori la akiba la
Mkungunero wakati wa mkutano ulioitishwa na Mkuu wa Mkoa huo katikati ya Wiki
|
|
 |
| Baadhi
ya Wananchi wa kijiji cha Ikengwa Kondoa wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Dodoma (hayupo
pichani) wakati akizungumza nao juu ya namna ya kumaliza mgogoro baina yao na katikati
ya Wiki |
 |
Wakina
mama wa jamii ya kibarbaigi wa kijiji cha Ikengwa Kondoa wakimshukuru Mkuu wa
Mkoa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana baada ya kufurahishwa na makubaliano yaliyofikiwa
kwenye mkutano wa hadhara ya kutafutiwa maeneo mengine ya makazi, kilimo na
mifugo kwa lengo la kumaliza mgogoro wa wananchi hao na pori la Mkungunero.
|